Transforma ya umeme yalipuka kiwanda cha bia TBL Ilala jana usiku








Na Mwandishi wetu
DSM

Usiku wa kuamkia leo, maeneo ya Ilala jirani na kiwanda cha bia TBL, transfoma moja lilipuka na madhara yake ndio kama picha zinavyoonyesha! Hakuna mtu aliyejeruhiwa mpaka tunaondoka maeneo hayo.

Tunafuatilia kujua madhara zaidi.

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.