Popular posts from this blog
Taarifa za msiba...
By
inno.mosha@gmail.com
-
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu msiba mkubwa tulionao leo. Ndugu yetu, mpendwa wetu, mwenzetu kwenye TEKNOHAMA na mdau mkubwa wa tafiti mbali mbali za TEKNOHAMA Kaka Andrew dACHI amefariki leo asubuhi nyumbani kwake Fransic Town, Botswana. Kwa sasa sina la ziada, ila tutaendelea kupeana taarifa kadri zitakavyotufikia. Tunaungana na familia yake, ndugu, jamaa na marafiki katika kipindi hiki kigumu cha majonzi na maombolezo, kumwomba Mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi, wakati taratibu za mazishi zinafanyika. Bwana alitoa, nae ametwaa. Jina lake lihimidiwe. tunaweza kujikumbusha moja ya kazi zake kwa kufungua ' http://www.isaconsulting.biz /' email yake ilikuwa ' andrew.dachi@isaconsulting.biz '
Kiboko na Afisa Wanyama Pori...
By
inno.mosha@gmail.com
-
Comments
deep down my heart i real real miss u so much, i try 2 stand up my self but realize it so hard baba.
thank LORD GOD where im 2day, ur grand child always ask me about u when she lookup to ur big picture at sitting rum...
JUST ONE THING BABA I WILL ALWAYS LOVE SO MUCH WE USE 2 BE FRIENDS...!
NOOOO ITS TOOO MUCH 2 ME I MISS U MY LOVELY DADY