zali kwa wachezaji wa mpira wa miguu bongo!

Natafuta wachezaji kutoka afrika hasa watanzania kuja kujaribu soka hapa.

Uwezekano wa kupata timu ni mkubwa kama yeye ni mchezaji maana atajaribiwa ktk timu nyingi na za daraja tofauti.

Asiwe na umri unaozidi miaka 23.

Awe na uwezo wa kujigharamia Ticket

Maradhi na chakula akiwa hapa yatafanywa na kampuni.
Mwariko atatumiwa na kampuni wa kuja kujaribu soka hapa

Kwa vile tz haiifahamiki kisoka tutahitaji wachezaji wa mwanzo wawe wanasakata kabumbu kisawasawa ili wapeperushe jina .
pia unaweza tembelea ktk web yetu .
www.nowakconsulting.pl

Nitwangie sms +48697461457 andika jina lako na klabu unayocheza mimi nitakutwangia simu moja kwa moja.
Ama nitwangie Email mkamap@yahoo.com ama uni PM ukibainisha namba yako ya simu.

ustaraabu Nimatumaini yangu hatuta ABUSE mawasiiano .Na ni mategeo yangu ujumbe tutawafikishia wahusika .
Otherwise ON PEACE !!!! C U then.

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.