One Stop Border Post Seminar in Nairobi
pichani watatu kutoka kulia waliokaa ni kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato tanzania nd. harry kitillya, wa kwanza kushoto kabisa waliokaa ni kamishna wa ushuru wa forodha nd. george lauwo, aliyekaa katikati ni mgeni rasmi aliyefungua semina hiyo, naibu waziri wa fedha wa kenya mh. odinga. wapili na watatu kushoto waliokaa ni makamishna wa ushuru wa forodha wa uganda na kenya.
Comments