kipaimara cha janet na john katika picha

mh. diwani wa maeneo ya kigamboni mama lilian rweyemamu na mumewe nao walikuwepooo!
wototo wakiselebuka kusheherekea kipaimara cha janet na john ukumbini.
mkuu wa kambi brig gen s. s. omar (aliyekaa kati) na mkewe (kushoto) pamoja na col. (rtd) kisebengo nao pia walikuwepoooo
hawa ndio wazazi wazaa chema vale na mumewe joseph siku hiyo ya sherehe ya watoto wao

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.