Sarafina Tavern - Namanga Border

 Moja ya sehemu za burudani, misosi na malazi maeneo ya Namanga mpakani mwa Tanzania na Kenya. Panaitwa Sarafina Tavern kwa nje.
 Kwa ndani, unapoingia...
 Siku za mwisho wa wiki kama Jumamosi na Jumapili kunakuwa na "buffet" la kufa mtu...

 Kwa "order" wana kitu cha samaki foil... pichani juu na chini.


 Jioni tulijipendelea kwa sato na ndizi, kama kawa huyu mnyamwezi tuliyenae aliamua kufuata mila. Ugali kwa samaki... alichoka kula mboga tuu!

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.