jk ndani ya boao china


JK akishangiliwa na wananchi wa mji wa Boao katika jimbo la Hainan nchini China leo mara baada ya kuwasili kwenye Ukumbi wa Mkutano unao jumuisha nchi za Asia na waalikwa toka baadhi ya nchi za Ulaya na australia. JK ni Rais pekee wa Afrika aliyealikwa katika mkutano huo. Picha kwa hisani ya blogu yetu ya michuzi.

Comments

Popular posts from this blog

FAMILIA YANGU ILIPOTEMBELEA KIJIJI CHA WATOTO YATIMA CHA FURAHA MBWENI KINACHOSIMAMIWA NA MASISTA WA KATOLIKI WA SHIRIKA LA KIMISIONARI LA BIKIRA MARIA MAMA WA YATIMA SIKU YA JUMAPILI TAREHE 17 JANUARI 2016

Rest In Peace Son of Africa, Meles Zenawi.